To ensure that Education we provide to our children produce generation which will go to save the society and their life

Provide Them Quality Education
To ensure that Education we provide to our children produce generation which will go to save the society and their life
Provide Them Quality Education
Airport secondary school is to be a center for provision of quality education in ordinary and advanced secondary level in Tanzania
Mkurugenzi wa shule ya sekondari Airport anatangaza nafasi kwa wanafunzi wanaoanza kidato Cha kwanza (I)...
Read MoreUongozi wa shule ya sekondari Airport unayofuraha kuwatangazia nafasi za kujiunga kidato cha tano mwaka...
Read MoreMkurugenzi wa shule ya sekondari Airport anatangaza nafasi kwa wanafunzi...
Uongozi wa shule ya sekondari AIRPORT unatangaza nafasi za masomo...
Karibu shule ya sekondari Airport inapatikana ndani ya jiji la mbeya ulipokuwa uwanja wa ndege wa zamani wa mkoa wa mbeya kilomita moja (1 km) kutoka mwanjelwa. shule inatoa elimu kwa vidato vyote kwanzia kidato cha kwanza (I) mpaka cha sita (VI) shule inawanafunzi wanaotokea nyumbani (kutwa) na mabweni (hostel) kwa wanafunzi wanaotokea mikoani. shule inapokea wanafunzi wa dini zote waislamu na wakristo. malezi yetu ni yenyekuzingatia maadili ya kitanzania kwa wanafunzi wetu.